Brilliant Real Estate Mbeya ni Wakala/Dalali wa mali/bidhaa/huduma mbalimbali. Pata Nyumba, Vyumba, Viwanja, Mashamba, Gari, Pikipiki, Baiskeli N.K vya kukodi au kununua kupitia sisi popote ulipo/unapohitaji ndani ya jiji la Mbeya.
Utapata unachotaka kwa wakati husika, sisi ni wazoefu wa kazi ya udalali hivyo usiwe na hofu, tuma meseji au piga simu wakati wowote.
Monday, 28 November 2016
Nyumba inapangishwa ipo Uhindini Mbeya.
Nyumba inapangishwa Uhindini Mbeya. Ina vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, na jiko kubwa. Kodi kwa mwezi dola 500.
No comments:
Post a Comment